Uongozi wa Klabu ya Yanga leo Juni 19, 2021 unauarifa Umma kwamba umekubalina na maombi ya kujiuzulu nafasi yake Kocha wa timu ya Wanawake, Yanga Princess, Edna Lema kuanzia leo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.