The House of Favourite Newspapers

Breaking: Magufuli Amtumbua DC wa Rufiji

0

Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani

Luteni Kanali Sawala anachukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa

Rais Magufuli leo amesikiliza kero za Wananchi katika Wilaya hiyo akiwa njiani kutoka Mtwara ambapo alisimama katika maeneo mbalimbali ikiwemo Ikwiriri

Leave A Reply