Breaking: Mahakama ya Congo Yamtangaza Felix Tshisekedi
Mahakama ya kikatiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo mapema leo Jumapili, imemtangaza Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi uliopita, tarehe 30 Desemba. Hata hivyo, Martin Fayulu amejitangaza kuwa Rais halali wa Congo.
Comments are closed.