MTOLEA: Siwezi Kumkosoa Maguful, Lipumba Mbabe Sana – Video
IKIWA ni siku chache tu zimepita tangu aliyekuwa Mbunge wa Temeke kwa tiketi ya CUF, Abdallah Mtolea, kutangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge na kukihama chama hicho kisha kugonga hodi katika Chama cha Mapinduzi (CCM), mwanasiasa huyo amefunguka chanzo cha kuhama.
Comments are closed.