Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika Ziwa Victoria. Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna waliosahaulika majini.
Hizi ni taarifa za awali, fuatilia habari zetu kufahamu zaidi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.