Waliopata majeraha ni wawili yaani Godfrey Kilolo (Meneja wa Sheria) na dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina moja tu la Priscus. Wote walikuwa wakielekea Dodoma kwa ajili ya mkutano ambao unatakiwa kufanyika leo Jumanne jijini humo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo.
Taarifa zaidi tutakuletea baadaye.
Comments are closed.