BREAKING: RAIS MAGUFULI Amuombea Dua Waziri Mkuu Mstaafu ICU!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Magufuli amemjulia hali na kumuombea waziri mkuu mstaafu, Mh Salim Ahmed Salim asnaepatiwa matibabu katika Hospitali mojawapo jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU
Comments are closed.