BREAKING: UTEUZI MPYA, MAJAJI WAULA, WAKUU WA WILAYA WATUMBULIWA -VIDEO
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais John Magufuli amefanya uteuzi mpya jioni hii wa majaji na wakuu wa Wilaya na taarifa hiyo kusomwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi aIkulu leo Jumapili Januari 27, 2019.
Charles Kabeho akiteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tarime na Thomas Abson kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga. Charles Kabeho alikuwa kiongozi wa mbio za Mwenge kwa mwaka 2018
Pia Rais Magufuli ameteua Majaji 6 wa Mahakama ya Rufani na Majaji 15 wa Mahakama Kuu.
Comments are closed.