Chama, Kagere Kuikosa Yanga, Bocco Atoa Kauli Ngumu – Video
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vanderbroek na Nahodha wake, John Bocco, wamezungumza na wanahabari leo Novemba 06, kuelekea mchezo wao wa kesho dhidi ya Yanga, utakaochezwa katika dimba la Mkapa jijini Dar.