The House of Favourite Newspapers
gunners X

Cheza, Bashiri, na Ushinde Simu Mpya ya Kisasa na Meridianbet

0

Je unajua kuwa leo hii ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kujishindia Samsung A26?. Ni kwa dau la 5000 pekee ndilo litakufanya uwe na mshindi sasa hivyo usingoje kupitwa na fursa hii leo.

Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa ushindi sasa upo mikononi mwako kwani walekuja na ofa kabambe ya msimu huu endapo utacheza mechi yoyote ya ligi yoyote duniani kwa dau la shilingi 5,000 pekee, na uwe miongoni mwa washindi wa simu mpya kabisa aina ya Samsung A26.

Hii sio promosheni ya kawaida, bali ni nafasi ya kweli ya wewe kugeuza bashiri zako kuwa zawadi halisi. Fikiria, unacheza mechi ya EPL, LaLiga, au hata Champions League ukitumia dau dogo tu, lakini mwisho wa siku unajikuta unatembea kifua mbele na simu mpya ya kisasa mkononi.

Kampeni hii imekuja mahsusi kwa mashabiki wote wa michezo wanaopenda burudani, ushindani, na zawadi. Kwa Meridianbet, kila mteja ni mshindi. Hivyo, kila tiketi unayoweka, kila bashiri unayocheza, inakuwa ni nafasi ya kuongeza uwezekano wako wa kuondoka na Samsung A26 mpya.

Michezo ya kasino ya mtandaoni ipo tayari kukupatia mshiko wa maana, Cheza sasa Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Kushiriki ni rahisi zaidi kuliko unavyofikiria! Tembelea tovuti ya www.meridianbet.co.tz au piga *149*10#, weka bashiri zako kwa dau la kuanzia shilingi 5,000, na tayari umeingia kwenye droo ya washindi. Usisubiri hadi dakika za lala salama anza leo!

Zaidi ya burudani, Meridianbet inaleta matumaini na tabasamu. Wachezaji wengi tayari wameanza safari yao ya ushindi, na sasa ni zamu yako. Weka bashiri zako kwa ujasiri, kwani kila dau lako linaweza kubadilisha maisha yako kwa sekunde chache tu.

 

 

Leave A Reply