The House of Favourite Newspapers
gunners X

Corona: Mungu Yuko Bize – Rais Museveni

0

RAIS  wa Uganda, Yoweri Museveni amewaonya wananchi wanaoenda kinyume na taratibu wakati huu wa vita dhidi ya #CoronaVirus.

 

Museveni amesema Mungu yuko bize, ana kazi nyingi, hawezi kuwa Uganda akiwaangalia wajinga, ameongeza kwamba Uganda imepewa taarifa za kutosha ili kujilinda na Covid-19, hivyo kama watu hawafuati maelekezo, Mungu na serikali hawawezi kulaumiwa.

 

Ameongeza kuwa Mungu amewalinda na hakuna kifo mpaka sasa, lakini anahitaji kuwaangalia watu wengine walio katika wakati mgumu.

 

 

 

Leave A Reply