The House of Favourite Newspapers

Dada Zangu Waliokuwa Wamezamia Mjini Wakifanya Maovu, Wamerejea Nyumbani

0

JINA langu ni Samson kutokea Mara mkoani Tanzania, katika ukoo wetu kuna kitu ambacho kilikuwa kinamtokea kila mtu. Mwanzo nilikuwa nahisi ni bahati mbaya lakini nikaja kubaini kuwa ukoo wetu umevamiwa na mikosi ya kutisha.

 

Kilichonishangaza kulikuwa hakuna mtoto ndani ya ukoo alikuwa anafaulu sehemu yoyote katika masomo yake, wote walikuwa wakifika darasa la saba wanafeli na kurudi nyumbani kuchunga mifugo.

 

Kibaya zaidi hata walipokuwa vijana wakubwa, wengi waliishia kwenye matumizi ya dawa za kulevya, wizi na ukahaba, hadi ukoo wetu ukawa umechoka kwa kusemwa vibaya na kuonekana una watu wa hovyo sana.

 

Kingine ni kwamba hata wale ambao tulionekana kuwa afadhali, kila ambavyo tulikuwa tunajitahidi kujikwamua kutoka kwenye umaskini hali ilikuwa mbaya zaidi. Biashara zetu zilikuwa zinavunjwa na kuibiwa, hali hiyo ilitufanya kufilisika maana tulikuwa tumechukua mikopo ya biashara na kushindwa kufanya marejesho.

 

Tulipambana sana kuweka mambo sawa lakini tulifikia hatua hadi kuuza mashamba kwa ajili ya kulipa madeni ambayo yalikuwa ya hovyo. Wakati mwingine ndugu zetu wengine walikamatwa na mali za wizi, hivyo tunaambiwa tulipe halafu tunakuwa hatuna fedha, hivyo tunauza shamba.

 

Wakati mwingine ndugu yetu wengine anamchoma mtu kisu, anakamatwa na polisi kwenda kumtoa na mambo ya kesi kwa jumla fedha inazidi kutumika nyingi. Ilifikia hatua nikataka kuhama familia yangu lakini nikaona mimi pekee yangu ndiye mwenye akili ambaye nikifanya juhudi na maarifa naweza kuubadili upepo.

 

Niliamua kutafuta dawa kutoka wa Kiwanga Doctors baada ya kusikia anasifiwa na watu wengi kuwa ana uwezo wa kuondoa mikosi katika jamii na ukoo.

 

Katika mazungumzo yetu aliniuliza maswali mengi kuhusu ukoo wangu, nami nilikuwa muwazi kwake na kumueleza jinsi ambavyo tumekuwa tukiteswa na mikosi ya ajabu ajabu. Mwishowe aliniambia nisiwe na wasiwasi kwani atashughulikia jambo langu na ndani ya siku tatu nitaanza kuona mabadiliko.

 

Nakumbuka baada ya siku mbili dada zangu waliokuwa wanafanya ukahaba mjini walirejea nyumbani na kusema wameamua kuja kutulia wafanye mambo ya maana, taratibu na wale waliokuwa wanatumia dawa za kulevya waliacha. Kikubwa zaidi ni kwamba watoto  walianza kufaulu kwenda sekondani hadi chuo  jambo ambalo halikuwahi kutokea hapo awali.

 

Naweza kusema hadi sasa hakuna tena madeni ambayo yalipelekea kuuza mashamba yetu mengi na mikosi imeisha na sasa kila mtu anautamani ukoo wetu kwa jinsi ambavyo mambo yetu wanaenda sawa.

 

Unaweza kuwasiliana na Dr. Kiwanga Doctors kwa namba +254 769404965 ili akutatulie shida iliyopo katika maisha yako.

Leave A Reply