The House of Favourite Newspapers

Daraja la Jangwani Dar laanza kusafishwa

0

1.Daraja la Jangwani kama linavyoonekana.Daraja la Jangwani, Dar kama linavyoonekana na maji ya Mto Msimbazi yakipita kwa shida kutokana na kuzingirwa na takataka.2.tingatinga likiwa pembeni kufuatia zoezi linaloendelea la kuondoa uchafu uliokuwa umeziba kwenye daraja hilo la Jangwani.Tingatinga lililokuwa likitumika kusafisha na kupanua kingo za Mto Msimbazi darajani hapo.3.Taswila ya daraja hilo.Mwonekana wa daraja hilo.4.Mto Jangwani unaotokea maeneo ya Msimbazi Dar ukiwa umeondolewa taka zilizokuwa zimeuziba mto huo.Taswila ya Mto Jangwani unaotokea maeneo ya Msimbazi ukiwa umepanuliwa.5.Kifusi ikiwa kimerundikwa kwa ajili ya kuondolewa kwenye daraja hilo.Tingatinga likiwa kazini darajani hapo.

Katika kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru,  Desemba 9 mwaka huu, Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam imeanza  kutekeleza kwa vitendo kauli ya Rais John Pombe Magufuli kwa kusafisha eneo la Dararaja la Jangwani lililopo Mto Msimbazi uliokuwa umejaa uchafu na kuhatarisha kuziba njia ya maji chini yake.

Kamera yetu imefanikiwa kupata baadhi ya picha zikionesha taswila nzima ya eneo hilo kabla na wakati linafanyiwa usafi kwa kutumia tingatinga.

NA DENIS MTIMA/GPL

Leave A Reply