Davina akanusha kuchepuka
Staa kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’.
Na Imelda Mtema
STAA kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amekanusha tetesi zinazozagaa kuwa, kwa vile hayuko kwenye ndoa basi atakuwa anachepuka na kuwajibu wanaozieneza kuwa hayupo hivyo na kwamba anaweza kuishi bila kufikiria mapenzi na watoto wake wanamtosha.