The House of Favourite Newspapers

Davina akanusha kuchepuka

0

davinaStaa kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’.

Na Imelda Mtema

STAA kutoka Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’ amekanusha tetesi zinazozagaa kuwa, kwa vile hayuko kwenye ndoa basi atakuwa anachepuka na kuwajibu wanaozieneza kuwa hayupo hivyo na kwamba anaweza kuishi bila kufikiria mapenzi na watoto wake wanamtosha.

Leave A Reply