The House of Favourite Newspapers

Davina: Siwezi Kutumika Tena Kwa Wanaume

Muigizaji mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’.

MUIGIZAJI mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’, amesema hapendi tena kutumika kwa wa­naume ambao hawana msima­mo katika maisha yake zaidi ya kumzeesha.

 

Aki­zun­gumza na Kilinge, Davina al­isema: “Huko nyuma mtu unakuwa na akili ya ki­toto hata unapokutana na mtu anakuambia anakupenda na kuamua kufunga ndoa nawe (unamkubali), baada ya miezi kadhaa mnatengana.

 

“Sasa hivi nimekuwa najitambua vilivyo na uzuri najua yupi ana­kudanganya au anaku­pendea umaarufu tu, hivyo mambo ya kutumika bila mpango siku hizi hakuna tena kabisa.

STORI: IMELDA MTEMA | CHAMPIONI

Comments are closed.