MSANII maarufu wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Diamond Platnumz, ametangaza siku ya kufunga ndoa na mpenzi wake mpya, Tanasha.
Kupitia mtandao Instagram, Diamond amesema harusi yake na mrembo huyo kutoka Kenya itafanyika Februari 14, mwaka kesho (2019).
“Unajua ni kiasi gani naisubiria siku hiyo (siku ya harusi) father. 14/2/2019 siku ya harusi ya simba,”ameandika Diamond kwenye Instagram ambapo alikuwa anamjibu mdau mmoja aliyetaka kujua siku ya ndoa hiyo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Next Post
Comments are closed.