Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Kiwani CCM Ndg.Rashid Abdalla,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Ubunge Jimbo la Chambani Pemba Ndg. Mohammed Abdrahaman. Mwinyi,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mkoani Pemba. CCM Ndg Mmanga Mgengo,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mtambile Pemba. CCM Ndg. Mgaza Mohammed,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi Jimbo la Chambani Pemba. CCM Bi.Bahati Khamis Kombo,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, akimtambulisha Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani Pemba. CCM Ndg Mussa Fumu Mussa,wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba
Mgombea Urais wa Zanzibar CCM Dk Ali Mohamed Shein, akiwatambulisha Wagombea Udiwani katika Wilaya ya Mkoani Pemba kupitia CCM, kwa Wananchi na kuwataka kuwapigia kura ya Ndio wakati wa uchaguzi Mkuu mwezom Oktoba 2015. wakati wa mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya black wizard chokocho Pemba