The House of Favourite Newspapers

Dudubaya Ala Kiapo: Nimeacha Pombe na Kumrudia Mungu – Video

MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ambaye haishiwi vituko, amekuja na hii mpya baada ya kula kiapo chake cha mwaka 2018 kwamba ameacha kunywa pombe.

Mkali huyo wa tangu kitambo, amesema mwaka 2017 pombe zilimfanya akose muda wa ibada lakini mwaka huu ameamua kuachana na pombe ili apate muda wa kumtumikia Mungu.

MSIKIE HAPA AKIAPA

Comments are closed.