The House of Favourite Newspapers

Dullah Mbabe Apokea kichapo cha KO katika raundi ya nne mbele ya Mwingereza Callum Simpson

0

Bondia Mtanzania Dullah Mbabe usiku wa kuamkia leo Aprili 1, 2024 amepokea kichapo cha KO katika raundi ya nne mbele ya Mwingereza Callum Simpson.

Pambano lilikuwa la raundi 10

Leave A Reply