Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa (kushoto) akimkaribisha Eric Shigongo kuzungumza na Wanakijiji wa Mtondo wilayani Ruangwa ambao walipatwa na maafa ya mafuriko hivi karibuni. Kassim Majaliwa akinena na Eric Shigongo. Eric Shigongo akiwasalimia Wanakijiji wa Mtondo. Kassim Majaliwa akisisitiza jambo. Eric Shigongo akizungumza na Wanakiji wa Mtondo, wilayani Ruangwa.Eric Shigongo na akiendelea kuzungumza wa Wanakijiji hao, kuwapa pole kwa maafa yaliyowakumba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea msaada wa vyakula na nguo kutoka kwa Mwenyekiti wa Watu Waliojitotelea Kusaidia Waliopatwa na Maafa ya Mvua Katika Kijiji cha Mtondo wilayani Ruangwa, Eric Shigongo wakati Waziri Mkuu alipokwenda kijijini hapo kuwapa pole Februari 28, 2016.