The House of Favourite Newspapers

Esma Ajitoa Kwa Mama Yake

DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Khan amefungukia ishu ya yeye kuwa mshauri wa mama yake, Sanura Kassim ‘Bi Sadra’ na yote anayoyafanya mitandaoni na kusema amejitoa rasmi.

Esma aliiambia Over Ze Weekend kuwa, kwa sasa amejitoa rasmi kuwa mshauri wa mama yake huyo.

 

“Nilikuwa ninampa ushauri kama mwanaye maana mimi ndiye mtoto wake mkubwa, lakini kwa sasa mama ana mume wake ambaye ni Anko Shamte kwa hiyo ndiye mshauri wake, sisi tunakaa pembeni,” alisema Esma.

NEEMA ADRIAN

MSIKIE KOCHA WA STARS AKIFUNGUKA HAPA KILICHOTOKEA

===========

Mechi za leo hizi hapa, bashiri na Biko ushinde mkwanja chapchap, bofya hapa ==> BIKO SPORTS

Comments are closed.