ZIMBABWE: Umoja wa Ulaya(EU) umeongeza muda wa vikwazo kwa Rais Robert Mugabe na mkewe, Grace kwa mwaka 1 hadi Februari 20, 2018.
Rais Mugabe amesema kuwa hakutaka Donald Trump awe Rais wa Marekani lakini pia hakupenda Bi. Clinton ashinde kwa kuwa angekuja kuendeleza vikwazo kwa nchi yake.
Comments are closed.