The House of Favourite Newspapers
gunners X

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe 5 Februari, 2025, saa 6:01 usiku.

Wafanyabiashara wa rejareja na jumla wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zilizoidhinishwa na EWURA pekee na yeyote atakayekiuka AGIZO hili atachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.

SALEH JEMBE – ”PRESHA INAWASUMBUA – VIONGOZI HAWAMTAKI – WACHEZAJI WAMEFANYA KAMPENI AONDOKE?”…

Comments are closed.