EXCLUSIVE: DIAMOND Hakunialika, Asijisahau Sana – Video
BAADA ya staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz kufanya sherehe ya kumbukumbu ya Siku yake ya kuzaliwa na kutoa misaada kwa wakazi wa Tandale, watoto, vijana na akina mama wenye matatizo, baba mzazi wa msanii huyo, Mzee Abdul Jumaa, amefunguka kuhusu kutengwa na mwanaye huyo na kutoalikwa kabisa kwenye shughuli hiyo.
Comments are closed.