The House of Favourite Newspapers

Mbunge Aitaka Serikali Ipitishe Tohara kwa Wanaume Iwe Lazima

0

BUNGENI, DODOMA: Mhe. Hawa Ghasia(Mb) ameitaka Serikali iifanye tohara kwa wanaume iwe lazima ili kupunguza maambukizi ya UKIMWI.

Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa afya Dkt. Hamis Kigwangalla amesema serikali haiwezi kulifanya suala la tohara kwa wanaume kuwa ni la lazima.

Aidha mwanzo wa kikao hicho cha Bunge, Mbunge Mteule wa Viti Maalum kupitia chama cha Wananchi CUF, Rehema Migila aliapishwa na kukamilisha nafasi ya nane ya wabunge walioteuliwa baada ya mmoja kufariki dunia.

Chadema: Lissu Amevunjwa Mguu na Nyonga Lakini Jasiri, Tumuobee!

 

Leave A Reply