The House of Favourite Newspapers
gunners X

Fursa za Ushindi Kubwa Leo! Mechi za Kufuzu Kombe la Dunia Zatisha Meridianbet

0

Kama kawaida, mechi za kufuzu Kombe la Dunia kwa sasa zimeweza kubeba fursa kubwa zaidi za kutengeneza pesa. Leo ni siku nyingine yenye michezo mikali kila kona ya Ulaya, na Meridianbet wamehakikisha haukosi kitu. Wamekuwekea machaguo lukuki, ODDS kubwa, na nafasi kibao za kushinda.

Ni moto wa kuotea mbali kule Hispania, ambapo Hispania watakipiga dhidi ya Bulgaria. Wenyeji wanaingia wakiwa na morali ya ushindi baada ya matokeo mazuri kwenye michezo yao ya hivi karibuni. Bulgaria kwa upande wao wanahitaji ushindi ili kubaki hai kwenye mbio za kufuzu. Je, ni tiki-taka ya Uhispania itajipa tena? Meridianbet wametoa ODDS bab kubwa.

Wakati huo huo huko Istanbul, Uturuki wanawakaribisha Georgia katika pambano lenye ladha ya kisasa. Georgia wameonyesha upinzani mkubwa katika mchezo wao wa mwisho dhidi ya Bulgaria, lakini nyumbani kwa Uturuki, ni moto halisi. Mashabiki wanategemea kuona mvua ya mabao na Meridianbet wana machaguo zaidi ya 1000 kwa mchezo huu wa kukata na shoka.

Ukiachana na mechi, bado unaweza kuongeza kipato chako kupitia michezo ya kasino kama Poker, Keno, Roulette, Aviator, na Superheli. Kila mchezo unalipa zaidi ukiwa na bahati yako upande wako. Piga *149*10# au tembelea meridianbet.co.tz kujumuika na dunia ya ubashiri yenye ushindi kila kona.

Katika Kundi lingine, Ireland wanawakaribisha Armenia pale Aviva Stadium. Vijana wa Ireland wanahitaji pointi tatu muhimu ili kujitoa mkiani na kuongeza matumaini ya kufuzu. Armenia hawana cha kupoteza, kwani wapo nafasi inayoruhusu kusonga mbele. Meridianbet wamehakikisha unapata ODDS za ushindi zinazoweza kubadili tiketi yako kuwa faida kubwa.

Nao Ureno wakiwa Estadio Jose Alvalade wanawakaribisha Hungary. Cristiano Ronaldo na wenzake wanataka kuendeleza rekodi yao ya kutoshindwa. Je, ni mwendelezo wa utawala wa Ureno, au kuna tishio jipya kutoka Budapest? Meridianbet wamepanga mechi hii kuwa ya kipekee kwa kila mpenda ubashiri.

Mchezo mwingine wa mapema unawakutanisha Estonia na Moldova saa 19:00 jioni. Huu ni mchezo wa vibonde wa kundi. Estonia wapo nafasi ya nne huku Moldova wakiwa mkiani. Kila kitu kinawezekana Meridianbet, mechi, ODDS, na machaguo yako yote yapo mezani.

Usiku unakamilika kwa mtanange mkali kati ya Italia na Israel. Mabingwa wa Ulaya, Italia, wanataka kurejesha heshima yao baada ya kipindi kigumu, huku Israel wakisaka historia mpya ya kufuzu Kombe la Dunia. Ni mechi ya heshima, ushindani na hisia kali. Meridianbet wana ODDS tamu mno kwa mchezo huu, chagua upande wako.
Mchezo mwingine unaovutia ni ule wa Latvia dhidi ya England. Simba Watatu wanatarajiwa kutawala mchezo huu, lakini Latvia hawatakuwa wasindikizaji. Kwa mashabiki wa Meridianbet, hii ni nafasi nyingine ya kuchukua ushindi mkubwa kupitia ODDS za kibabe.

Leave A Reply