The House of Favourite Newspapers

Gazeti la Championi Latoa zawadi za Tiketi kwa Mashabikiwa Simba/Yanga

0
Ofisa Masoko wa Global Publishers, Francis (kushoto) akimkabidhi tiketi shabiki wa timu ya Yanga kwa kukutwa akisoma gazeti la Championi.
Ofisa Masoko wa Global Publishers, Francis (kulia) akimkabidhi tiketi shabiki wa timu ya Yanga kwa kukutwa akisoma gazeti la Championi.
Mashabiki wa Simba na Yanga wamiminika uwanja wa Benjamin Mkapa kushudia mechi Kali kati ya Simba na yanga katika mwendelezo wa ligi ya NBC.
Champion lilifika uwanjani hapo na kutoa zawadi Kwa wasomaji wa gazeti hilo pendwa la michezo nchini ambao walikutwa wakilisoma.
Wasomaji wa Gazeti la Championi wakilisoma nje ya Viunga vya Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
Kama ilivyo desturi ya gazeti la champion kushirikiana na wasomaji wake kwenye shughuli za kimichezo, timu ya gazeti ilifika uwanjani kuwapa zawadi kwa kuendelea kuwa wasomaji wetu.
Leave A Reply