GAZETI LA SPOTI XTRA LAZIDI KUJIPANUA NCHINI
GAZETI la michezo la Spoti Xtra linalotolewa na Global Publishers Ltd, leo limeendelea kujipanua nchini kote ambapo wasomaji wengi wanajitokeza kulinunua na kulisoma ili kujiburudisha na stori na makala zake mbalimbali kuhusu michezo nchini na nchi za nje.
Pamoja na kulisambaa sehemu mbalimbali za nchini, wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, waliendelea kulifurahia na kuonyesha furaha yao kwa kulisoma, hususan maeneo ya Bunju, Boko na Tegeta.
Spoti Xtra ni kila kitu katika michezo na burudani.
(PICHA: RICHARD BUKOS | GLOBAL PUBLISHERS)
Comments are closed.