Hali ni Mbaya Kitanzi cha R Kelly… Kumbe Alifunga Ndoa na ‘Katoto’?
Mwanamuziki R Kelly bado yupo rumande akiwa katika ulinzi mkali kwenye jela ya peke yake ambapo haruhusiwi kuonana na mtu yoyote na huwa anapata Dk.15 tu za kuongea na simu kwa mwezi na vilevile anaruhusiwa kuoga mara 3 tu kwa wiki.
Comments are closed.