The House of Favourite Newspapers

Hamorapa Jeuri Hii Umeitoa Wapi?

Hamorapa. 

DAR ES SALAAM: Akiwa bado anaendelea kutrendi kwa kuitwa ‘Nyani’ katika mitandao ya kijamii, msanii wa kizazi kipya anayefananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Athuman Omary maarufu kama Hamorapa leo katika mitandao ya kijamii mashabiki wameibuka na kusema kuwa Hamorapa ametumwa.

Hamorapa. 

 

Kwa habari ambazo bado hazijathibitika zinadai kuwa Hamorapa anatumiwa na wafanyabiashara wakubwa jiji Dar es salaam, inaonekana wazi kuwa hana uwezo wa kujieleza na anafundishwa jinsi ya kujibu maswali katika mahojiano mbalimbali. Pia hivi karibuni ameonekana katika mitandoa ya kijamii kuweka picha na video zinazomonyesha akiwa napesa nyingi na kazi anayofanya haijulikani.

Akihojiwa na Global Tv mwezi jana, Hamorapa alionekana wazi kuwa ni mtu asiyeweza kujieleza.

 

TAZAMA VIDEO HII HAPA

Save

Comments are closed.