Harusi ya Shilole na Uchebe, Shuhudia Walivyoingia Ukumbini – Pichaz
STAA wa Muziki wa Mduara Bongo, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole au Shishi Bay usiku wa kuamkia leo amefanya sherehe ya harusi baada ya kufunga ndoa hivi karibuni na mpenzi wake, Uchebe.
Sherehe hiyo iliyofanyika Hekima Garden ilihudhuriwa na mastaa kibao wakiwemo Jux na Vee Money, Dogo Janja na Uwoya na wengine kibao. Hapa nimekuwekea picha za maharusi hao wakiingia ukumbini.
PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL TV ONLINE
Comments are closed.