HATIMAYE ROONEY ASAJILIWA NA SPORTPESA
📝 | We're delighted to bring @WayneRooney back to #EFC! He signs from @ManUtd, 2 year deal. #WelcomeHomeWayne
👉🏻 https://t.co/mHFaK7eQA9 pic.twitter.com/8N5nYvnezU
— Everton (@Everton) July 9, 2017
Mshambuliaji Wayne Rooney amekamilisha mchakato wa kujiunga na timu ya Everton akitokea Manchester United katika usajili huru, leo Jumapili. SportPesa wanadhamini timu ya Everton.
Staa huyo mwenye umri wa miaka 31, amerejea klabuni hapo baada ya kuondoka miaka 13 iliyopita akiwa chipukizi ambapo aliuzwa kwa pauni milioni 26.5 kipindi hicho.
Everton imempa mkataba wa miaka miwili na atakuwa akilipwa mshahara wa pauni 150,000 kwa wiki.
Time to get started! #EFC 🔵 pic.twitter.com/iaUSU3G3H2
— Wayne Rooney (@WayneRooney) July 10, 2017