Hawa Ndiyo Washindi Wa Tuzo za BET, Beyonce Kama Kawa

UTOAJI wa Tuzo za BET kwa mwaka huu hazikuwa za kitoto, ilikuwa ni full kufunikana kila kona kiasi kwamba wadau wengi wa muziki duniani wamezipongeza kwa kuwa tuzo za aina yake.
Mbali na utoaji wa tuzo hizo, pia watu walishuhudia marehemu wa kundi la Rap nchini Marekani, Prodigy akikumbukwa baada ya kufariki dunia mwanzoni mwa wiki iliyopita.
Hapa nimekuletea washindi wa tuzo hizo kwa mwaka huu.
Katika Kipengele cha Mwanamuziki Bora wa Kike wa RnB na Pop kulikuwa na wanamuziki kama
Beyonce (Mshindi)
Rihanna
Solange
Mary J. Bridge
Kehlani.
Pia kulikuwa na kipengele kingine cha Viewer’s Choice ambapo kulikuwa na ngoma kama
Fake Love – Drake
Sorry- Beyonce (Mshindi)
Black Beatles – Rae Sremmurd ft. Gucci Mane
24K Magic- Bruno Mars
Bad And Boujee- Migos feat Lil Uzi Vert
Starboy- The Weeknd feat Daft Punk
Ukiachana na kipengele hicho pia kulikuwa na kipengele cha Mwanamuziki Bora wa Kiume ambapo kulikuwa na
Chris Brown
Bruno Mars (Mshindi)
The Weekend
Trey Songz
Usher
Kwenye kipengele cha Kundi Bora kulikuwa na makundi kama
A Tribe Called Quest
Fat Joe And Remy Ma
2 Chainz And Lil Wayne
Migos (Mshindi)
Rae Sremmurd
Ukiachana na kipengele hicho pia kulikuwa na kipengele cha Wimbo Mkali wa Kushirikiana ambapo kulikuwa na
Beyoncé featuring kendrick lamar – ‘freedom’
Chris Brown Featuring Gucci Mane And Usher – ‘Party’
Dj Khaled Featuring Beyoncé And Jay Z – ‘Shining’
Rae Sremmurd Featuring Gucci Mane – ‘Black Beatles’
‘No Problem’, Migos Featuring Lil Uzi Vert – ‘Bad And Boujee’, Chance The Rapper Ft 2 Chainz & Lil Wayne (Washindi)
Achana na hizo, pia kukawa na Kipengele cha Mwanamuziki Bora wa Hip Hop ambapo kulikuwa na wasanii kama
Chance The Rapper
Drake
Future
Big Sean
J.Cole
Kendrich Lamar (Mshindi)
Pia kukawa na kipengele cha Mwanamuziki Bora wa Kike. Hapo kulikuwa na wasanii kama
Nicki Minaj
Mary J. Bridge
Remy Ma (Mshindi)
Cardi B
Young M.A
Pia kukawa na kipengele cha Video Bora ya Mwaka ambapo kulikuwa na video kama
Big sean – ‘Bounce Back’
Migos featuring Lil Uzi Vert – ‘Bad and Boujee’
Solange – ‘Cranes In The Sky’
Beyoncé – ‘Sorry’
Bruno mars – ’24k Magic’ (Mshindi)
Halafu kukawa na Muongozaji Bora wa Video ambapo kulikuwa na waongozaji wa ngoma kama
Bruno Mars And Jonathan Lia – Bruno Mars, ‘That’s What I Like
Director x – Zayn Malik, ‘Like I Would’
Hype Williams – Tyga, ‘Gucci Snakes’ Featuring Desiigner
Benny Boom – Kehlani, ‘Crzy’
Kahlil Joseph And Beyoncé Knowles-Carter – Beyoncé, ‘Sorry’ (Mshindi)
Pia kukawa na Kipengele cha Mwanamuziki Chipukizi ambapo kulikuwa na wasanii kama
Cardi B
21 Savage
Khalid
Chance The Rapper (Mshindi)
Young M.A
Kwenye upande wa filamu kulikuwa na kipengele cha Muigizaji Bora wa Kike ambapo kulikuwa na waigizaji kama
Issa Rae
Taraji P. Henson (Mshindi)
Janelle Monae
Gabrielle Union
Viola Davis
Mbali na hicho pia kulikuwa na kipengele cha Muigizaji Bora wa Kiume ambapo kulikuwa na waigizaji kama
Denzel Washington
Donald Glover
Bryshere y. Gray
Omari Hardwick
Mahershala Ali (Mshindi)
Halafu pia kukawa na kipengele cha Ngoma Bora ya Gospel ambapo kulikuwa na ngoma kama
Fantasia feat Tye Tribbett – ‘I Made It’
Kirk Franklin Feat Sarah Reeves, Tasha Cobbs And Tamela Mann – ‘My World Needs You’
Cece Winans – ‘Never Have To Be Alone’
Tamela Mann – ‘God Provides’
Lecrae – ‘Can’t Stop Me Now (Destination)’ (Mshindi)
Pia kukawa na kipengele cha Filamu Bora
The Birth Of A Nation
Hidden Figures (Mshindi)
Get Out
Fences
Moonlight
Mwanamichezo Bora wa Kike
Venus Williams
Simone Biles
Skylar Diggins
Gabby Douglas
Serena Williams (Mshindi)
Mwanamichezo Bora wa Kiume
LeBron James
Russell Westbrook
Stephen Curry (Mshindi)
Odell Beckham jr.
Cam Newton.
Albamu Bora ya Mwaka
‘4 Your Eyez Only’ – J. Cole
‘A Seat At The Table’ – Solange
‘Coloring Book’ – Chance The Rapper
‘Lemonade’ – Beyoncé (Mshindi)
’24k Magic’ – Bruno Mars
Mwanamuziki Bora wa Afrika
Tekno
Wizkid (Mshindi)
Davido
AKA
Stonebwoy
Nasty C
Babes Wodumo

