IFM Mabingwa Wa Soka la Ufukweni Ligi ya Vyuo vya Elimu ya Juu
Chuo cha IFM kimetwaa ubingwa wa Ligi ya Vyuo vya Elimu ya Juu mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuishinda Chuo cha Ardhi kwa magoli 6-4 kwenye mchezo wa fainali iliyochezwa kwenye Ufukwe wa Coco leo Jumapili Januari 7, 2018. Imedhaminiwa na Sokabet www.sokabet.co.tz
(PICHA NA SWEETBERT LUKONGE | GLOBAL PUBLISHERS)
Comments are closed.