WASANII wa Bongo wameitikia wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda wa kufika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam mapema leo asubuhi.
RC Makonda jana aliwataja wasanii 9 wanaotuhumiwa kujihusisha na mtandao wa madawa ya kulevya pamoja na baadhi ya askari polisi huku akiwataka wafike kwenye Kituo Kikuu cha Polisi leo asubuhi kwa ajili ya mahojiano.
Mwingine ambaye mpaka sasa ameshawasili ni Mmiliki wa Klabu ya Usiku ya Element aliyewasili majira ya saa 5.00 akiambatana na mawakili wake wawili.
Wasanii na polisi waliotajwa na Makonda.
Comments are closed.