Isikilize Afro Bongo EP Yote Toka Kwa Harmonize
Msanii Rajab Abdul Kahali maarufu kama Harmonize toka WCB ameileta EP yake ya Afro Bongo ya kwanza na ndani ya mwaka 2019.
Ep hiyo imebeba nyimbo nne zilizowashirikisha wasanii wakali kama Diamond Platnumz toka Tanzania, Burna Boy, Mr Eazi pamoja na Yemi Alade hao wote toka Nigeria.
Tumekuwekea hapa video mpya zinazofanya vizuri kwa sasa, ingia Global App na kama huja-install, tumekuwekea link hapa chini:👇👇👇👇
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Zisikilize Nyimbo Zote hapa.
Comments are closed.