ITAKULIZA! Ombi Kubwa la Mke wa Azory kwa JPM – Video
IKIWA ni mwaka mmoja sasa umepita tangu kupotea kwa Mwandishi wa Habari za Uchunguzi wa Gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda, wadau mbalimbali wamepaza sauti zao kutaka mwandishi huo aweze kupatikana akiwa hai.
Global Tv, imemtembela mke wake aitwae Anna Pinon wilayani Kibiti mkoani Pwani, ambaye ametoa ombi kubwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.
Comments are closed.