The House of Favourite Newspapers

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-11

2

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Yaliisha, usiku ukaingia. Baba alikaa sana nje siku hiyo, najua alikuwa akimlenga kaka Cheni asitoke. Ilipofika saa sita usiku, baba akaingia ndani kulala.
Mimi nikamchokoza kaka Cheni kwa meseji…
“Dingi ndiyo kaingia, utatoka?”

“Kwenda wapi?”
“Si kwa mademu zako.”
“Hata wewe demu wangu, njoo basi huku.”
SHUKA NAYO MWENYEWE…

Nilitabasamu mwenyewe kwanza, lakini moyo ukanisuta kwa swali langu kwa kaka Cheni kwani alichoniambia si ndiyo ukweli! Kama si ukweli kwa nini nilimuuliza vile?
Halafu ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kumuuliza swali kama lile kwamba, haendi kwa mademu wake?

“Mh!” Niliguna nikiwa na maana nina wasiwasi na kuniita kwake…
“Unaguna nini sasa?” kaka Cheni aliniuliza.
“Nimefurahi tu.”
“Umefurahi mimi kukuita au?”

“Nimefurahi leo hutoki.”
“Mdingi kaloga. Saa hizi ningekuwa kitaa,” alisema kaka Cheni kwenye meseji yake…
“Teh! Teh!” mimi nilicheka tu.

Lakini kichwani akili yangu ilikuwa inagongana. Kwamba kama kaka Cheni atakazana niende chumbani kwake. Je, niende kweli au nikatae?
Nilijikuta nawaza sana kwa muda huku nikiwa sina uamuzi kama ikitokea…
“Oyaa,” kaka Cheni alituma meseji hiyo baada ya ukimya mrefu kidogo.
“Niambie.”

“Waja au?”
“Mh! Kaka Cheni bwana, mi naogopa ujue.”
“Unaogopa nini sasa?”
“Mfano baba akitoka je?”

“Kwani kuna siku ametoka akaingia kwako au kwangu?”
“Najua hawezi lakini akiniulizia?”
“Basi mimi nije kwako.”
“Ndiyo itakuwaje sasa?”

“Akiniulizia mimi hakuna noma hata kama atajua nimeondoka nyumbani, msala utakuwa kwangu mwenyewe.”
“Mh! Kaka Cheni wewe…huogopi?”
“Siogopi.”

“Sasa mfano ukija, utakaa kwangu mpaka muda gani?” nilimuuliza swali la mtego. Maana asitegemee akija akalala mpaka jua linatoka…
“Chapuchapu tu,” alijibu fasta.
“Mh!” Nilimgunia kwanza…

“Mbona unaguna sista?”
“Nimefurahi tu.”
“Sasa…si muda unakwenda?”
Kaka aliponiambia hivyo, sikumjibu kwa wakati kwani bado moyo ulikuwa ukinisuta kwa kitendo cha kufanya mapenzi na kaka yangu.

“Oya sista, mbona sikusomi, nije au unakuja wewe?” kaka aliniuliza tena.
Aliponiuliza hivyo, nikakambuka jinsi alivyokuwa akinishika, kunibusu, kunifinya na alivyonipa denda lake tamu, nikajikuta mwili ukinisisimka, nikatamani kuwa naye.
“Njoo,” nilimuita kwa meseji fupi tu hiyo.

Lakini moyoni niliamini kwamba, tabia za wazazi kutuzuia kutoka zinachangia kutokea kwa hali ile.

“Haya yote wameyasababisha baba na mama kwa sababu ya ukali wao, yaani wanatuchunga kama mbuzi, shauri yao bwana,” nilijisemea moyoni.
Nilimsikia kaka Cheni akitoka kitandani kwake. Mimi nikaenda kufungua mlango wa chumba changu. Nikamsikia akifungua mlango wake, akatoka. Nikamsikia akishika mlango wangu, akaingia ndani, akaufunga.

“Nizime taa?” nilimuuliza nikiwa nimejiinamia…
“Ndiyo maana yake,” alisema.

Tulitumia sauti ndogo sana kuwasiliana ili lisisanuke.
Nilizima taa mwenyewe mwenye chumba kisha nikarudi kitandani. Kaka yeye alishapanda kitandani zamani sana akinisubiri.
Nilipopanda, nilipita hadi ukutani…

“Lakini kaka Cheni wewe… tukifumwa shauri yako,” eti nilijivua.
“Hamna. Akija baba nazama chini ya kitanda kama asubuhi halafu kesho namwambia nilikwenda kununua wembe.”
“Mh!” Niliguna…

“Halafu wewe unapenda sana kuguna. Kwa nini lakini?”
“Basi tu kaka Cheni nimezoea kufanya hivyo.”
“Mimi sii-pendi hiyo tabia yako ya kuguna,” kaka Cheni akaniambia.
“Nisamehe kaka,” nikamwambia.

Tukawa tunasikilizana tu sasa. hakuna aliyemgusa mwenzake. Mimi nilikuwa naogopa, nilikuwa natetemeka. Kichwani nilikuwa nina maswali kibao kuhusu uamuzi wa kutembea na kaka yangu wa damu moja.

Kaka Cheni ndiye aliyeanza kunishika, akanigeuzia kwake maana nililala naangalia juu…
“Vipi?” Eti nilimuuliza kama sijui kwa nini alinigeuzia kwake. Yaani mpaka mtu anaingia ndani kwangu, anapanda kitandani nilikuwa sijui ni kwa nini?
“Kwani hujui?” naye aliniuliza, nikacheka ndani kwa ndani.

Niligeuka. Hapo nilikuwa ndani ya kanga moja tu. Kaka Cheni akaivuta ikatoka, nikawa kama nilivyozaliwa sasa…
“Mh!” Niliguna, nikakumbuka alivyosema kwamba napenda sana kuguna, nikamwomba samahani. Hakunijibu, nikamwona anainua miguu juu na kuvua bukta…
“We kaka Cheni, hebu sikiliza nje, kama kuna mtu anatembea,” nilimwambia.

Je, unajua nini kiliendelea huko? Usikose kusoma kwenye gazeti hilihili, wiki ijayo.

2 Comments
  1. hussein hassani says

    laanatu lah

  2. Emmanuel says

    Duuuh! Hyo laana

Leave A Reply