The House of Favourite Newspapers
gunners X

JB: Kuna Wema Mmoja Tu

0

KUNA Mwigizaji na director mkubwa wa Bongo Movies, Jacob Steven almaarufu JB amemsifia mwigizaji na mlimbwende wa Tanzania, Wema Sepetu kwamba yupo mmoja tu na hatatokea mwingine.

 

JB ambaye ameigiza filamu nyingi na Wema ambaye humuita Baba anasema; “Yupo Wema mmoja tu na hatakuja kutokea mrembo mwenye mvuto kama mlimbwende Wema Sepetu.”

Leave A Reply