Jennifer Mgendi atembelea Global TV Online na kufanya mahojiano
Mwimbaji Injili, Jennifer Mgendi akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano
Jennifer Mgendi akisikiliza baadhi ya maswali kutoka Global TV Online.
Jennifer akizidi kufanya mahojiano ndani ya Global TV Online leo.
Jennifer Mgendi akiwa na John Joseph ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Championi Ijumaa.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul akipozi na Jennifer.
Jennifer akiwa na Mwnadishi wa Championi, Nicodemus.
Jennifer akiwa na Mwanahabari Gabriel Ng’osha.
Jennifer na Nyemo Chilongani wakiwa katika pozi.
Jennifer akiwa na Shorvieny Mohammed wa Global TV Online.
Jennifer akiwa na Mpiga Picha wa Global, Musa Mateja.
PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA / GPL