The House of Favourite Newspapers

John Heche: Umeme Ndio Chaka Lenu la Ufisadi – Video

Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, amedai chaka la Ufisadi nchini kwa miaka mingi limekuwa ni sekta ya Umeme huku akitaja mifano ya Songes, Richmond, Tegeta Escrow na mingine lakini waliokamatwa mpaka sasa ni Harbinder Singh Seth na James Rugemarila pekee.

 

Heche ameyasema hayo Bungeni wakati akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019 iliyowasilishwa Bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango.

 

“Seth na Rugemarila pekee ndiyo wako gerezani peke yao, Je, hao ndiyo waliobika Tsh. Bilioni 306 za nchi hii? Unatengeza ufisadi mwingiune wa kuiba zaidi ya shilingi trilioni 10 za Watanzania kwenye mradi wa Stiegler’s Gorge,” alisema Heche.

VIDEO: MSIKIE HECHE AKIFUNGUKA

Comments are closed.