The House of Favourite Newspapers

John Mongella Achaguliwa Kuwa Naibu Katibu Mkuu Wa CCM Bara

0
John Mongella

John Mongella amechaguliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, akichukua nafasi ya Anamringi Macha ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga
Mongella alitenguliwa katika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Machi 31, 2024, nafasi ambayo aliitumikia tangu Mei 19, 2021 alipoteuliwa kushika nafasi hiyo
Mabadiliko hayo yamefanywa na Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (#CCM) iliyokutana Jijini Dar es Salaam katika Kikao chake maalum chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 3, 2024

Leave A Reply