The House of Favourite Newspapers

John Mongella Awatembelea Wagonjwa Waliopatwa na Tukio la Kumwagiwa Tindikali Kasulu

0

Ndugu Thomas Omary na mkewe, Bi. Verian Elias, waliopatwa na tukio la kumwagiwa tindikali huko Kasulu, Kigoma, wakipokea faraja kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Bara, John Mongella, walipotembelewa wakiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Leave A Reply