The House of Favourite Newspapers

Joyce Kiria aogopa kupoteza ndoa

0

11659258_498844603624571_214031101422271051_n1Joyce Kiria

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia EATV, Joyce Kiria ameweka wazi kuwa hivi sasa yuko kwenye mikakati ya kupunguza mwili wake ili asije kupoteza ndoa.

 Akizungumza na Amani Joyce alisema, amekuwa akiuweka mwili wake sawa ili usinenepe sana kwa kuwa hataki tena kuonekana mzee akawapa nafasi wasichana ‘potabo’ wakaingilia ndoa yake na kuipoteza.

“Akuu!! Kisa cha kujizeesha na mwili hata ukitembea na mumeo uonekane kama shangazi yake mimi sitaki kabisa, sasa hivi ni diet kwa kwenda mbele kila kukicha nisije kuwapa madungaembe nafasi ya kuingilia ndoa yangu,” alisema Joyce.

Leave A Reply