Rais Dkt. John Magufuli leo Ijumaa, Januari 11, 2018 amekutana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Bharti Airtel, Sunil Mittal, Ikulu jijini Dar es Salaam ambapo Mwenyekiti huyo amemueleza Rais kuwa, Kampuni yake imekubali kuongeza hisa zinazomilikiwa na Serikali ya Tanzania katika Kampuni ya Airtel kutoka asilimia 40 hadi asilimia 49.
Comments are closed.