The House of Favourite Newspapers

JPM Amteua CAG Mstaafu, Ludovick Utouh

RAIS Magufuli amemteua CAG Mstaafu, Ludovick Utouh kuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini, Mafuta na gesi Asilia Tanzania.

Comments are closed.