The House of Favourite Newspapers
gunners X

JPM Apangua na Kupanga Tena, Ampa Shavu Dkt. Abbas – Video

0

RAIS John Magufuli leo  Januari 31 Januari, 2020, amemteua Dkt. Hassan Abbas kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akichukua nafasi ya Susan Mlawi. Kabla ya Uteuzi huo, Abbas alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Pia amemteua Brigedia Jenerali wa Jeshi la  Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Suleiman Mungiya Mzee  kuwa Kamishna Jenerali Mpya wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara.

 

Leave A Reply