JPM Ashuka Ghafla Barabarani, Amuita Dereva Daladala! – Video
RAIS Dkt. John Magufuli, amewataka madereva wanaoendesha vyombo vya usafiri wa abiria kuzingatia sheria na taratibu za usalama barabarani wakati wote wa safari zao.
Magufuli amesema hayo jana katika kijiji cha Kihanga, wilaya ya Karagwe mkoani Kagera, alipokutana na abiria na dereva wa basi dogo linalofanya safari zake kati ya Bukoba na Karagwe.
Comments are closed.