JPM Atua Chato, Akunwa na Hili… – Video
RAIS John Magufuli leo amewasili nyumbani kwao Chato ambako amewapongeza wananchi wa huko kwa kufanya kazi kwa bidii na kuwasisitizia kwamba mshikamano wa Watanzania ndiyo utakaochangia Tanzania kuwa miongoni mwa nchi tajiri duniani.
Ameyasema hayo baada ya kutua kwa ndege na kuwahakikishia wakazi wa sehemu hiyo kwamba uwanja wa ndege wa Chato unakaribia kukamilika ili uweze kutumiwa kwa ajili ya maendeleo mbalimbali.
Comments are closed.