MWANAFUNZi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi St. Joseph Rutabo mkoani Kagera amefariki na mwingine kujeruhiwa vibaya baada ya mabweni mawili ya shule hiyo kuteketea usiku wa kuamkia leo.
Chanzo cha cha moto bado hakijajulikana huku jitihada za kuokoa na kuzima zikiendelea.
Endelea kufuatilia taarifa zetu kupitia mitandao ya Global Publishers ili kufahamu zaidi.
Comments are closed.